Meneja Almas Mzambele wa Rapper Country boy ambaye yeye kwa sasa amesajiliwa chini ya lebo ya Konde Music Worldwide amesema kuwa lebo hiyo kwa sasa ina mpango wa kuliteka soko la muziki bongo fleva na Afrika kwa ujumla
Advertisements
Mzambele ameongeza kuwa kwa upande wa Harmonize ambaye ndiye CEO wa gang hilo wanataka aliteke soko la muziki kidunia hata likitajwa jina la Harmonize na Chris Brown iwe kitu cha kawaida tu na hata siku moja waje kupiga show wakiwa jukwaa moja.
- Babalevo atangaza vita kwa yeyote atakayemtukana Diamond
- Masaa 36 ya mfungwa namba 8612- Doug Korpi
- Samatta ajiunga na Fenerbahce, Aston Villa FC yashuka followers
- Tanzania: Panya anayeweza kugundua mabomu yaliyotegwa ardhini, atuzwa
- Swizz Beatz afunguka sababu za Diamond kuimba Kiduchu kwenye Wasted Energy
Advertisements

Advertisements
MASTORI ZAIDI
Advertisements
Processing…
Success! You're on the list.
Whoops! There was an error and we couldn't process your subscription. Please reload the page and try again.
Categories: BURUDANI