MCHUNGAJI maarufu kutoka Nigeria, TB Joshua hivi karibuni amekuwa miongoni mwa watumishi wa Mungu waliotoa utabiri kuhusu janga la virusi vya Corona.
TB Joshua ametabiri janga la virusi vya Corona litaisha Machi 27, 2020.
Video fupi iliyosambaa mitandaoni imemuonyesha mchungaji huyo akiwa anahubiri kuhusu virusi vya Corona na kusema kuwa “kama ugonjwa huu haukuletwa kwa dawa, basi dawa haziwezi kuuondoa”
- Marekani yaongoza kwa kesi za maambukizi ya COVID-19 duniani. ‘yaipiku Italia na China’
- Uhispania: Nafasi ya pili kwa vifo vitokanavyo na COVID-19, Marekani yaripoti visa 10,000 kwa siku
- Cardi B atangaza rasmi kujaza fomu za kuomba uraia nchini Nigeria.
Leo Machi 28 wanaigeria wamshambulia mchungaji huyo kwa maneno kupitia mitandao ya kijamii wakisema kuwa “Mpaka sasa tarehe hiyo imeshafika lakini bado janga hilo linaendelea kuitikisa Nigeria na dunia kwa ujumla”.
https://platform.twitter.com/widgets.js“>
Baadhi ya maneno yaliyochapishwa na Wanigeria kupitia mtando wa twitter kuhusu utabiri wa TB Joshua.
Categories: HABARI
1 reply »